@subiraboi9397منذ 3 سنواتSubhana Allah yaarab tunajuwa huruma yako n nyingi kuliko yyote ya Allah tuhurumie waja wako na uwape shiffaa wagonjwa in shaa Allah 1
@
@caslidajosephat8912منذ 3 سنواتJose msafi kweli duh nimekupenda Jose, all in all mm napenda mnavyojituma hongereni na wote mliotoa michango. 6
@
@mouwanahamisi8216منذ 3 سنواتMung ataleta wepes in Sha Allah polen San kaka Zahir Na team yako mung awatie nguv afya subira Na uvumiliv 7
@
@asmaally9958منذ 3 سنواتDuu pole sana mungu atafanya wepesi ilamdadilike kichwani 4
@
@zakiamsafiri123zakiamsafir7منذ 3 سنواتAllah atawaongezea nyote mliotoa mungu atamuafu kakayetu atapona INSHA'wallah Timu maxmamu Allah atawalipa Kwa kila jema 16
@
@janethmagemakwakeliinauma3581منذ 3 سنواتHongera kaka kwakazi nzuri mungu akulinde
@
@fatmamamlo7882منذ 3 سنواتAlie wavunja nguvu yule fadina wallah watu wamekata tanaa Allah alete wepesi tujisukume michango iwe mingi inshallah 3
@
@marialekinyi8382منذ 3 سنواتMungu akuongoze kaka, katika majukumu yako, na mungu WA mbinguni amfanyie wepesi apone ili alee familia yake.
@
@asiaghadija8333منذ 3 سنواتSubhanaAllah Allah akupe shifaa yaharaka 1
@
@ummymzee5159منذ 3 سنواتAllah Atamughafu Inshaallah Kuugua Sio Kufa Kuumwa Ni Ibada Na Madhambi Hupunguziwa 2
@
@kisalaTVمنذ 3 سنواتAsante mungu kwa afya uriyo nipa , sio mm ni msafi sana ila ni kwa upendo wako , pole sana kaka mungu atakusaidia utapona 1
@dottohamisi9844منذ 3 سنواتHongereni sana kwa kazi mzuli sana mwenyezimungu atakulipa inshallah atapona 1
@
@munaahmed8499منذ 3 سنواتSubhannallah hujafa hujaumbika inadam tuwacheni majigambo ktk dunia hii dahh kaka allah atakufanyia wepes utapata afuen insha allah 1
@
@mussamivache4986منذ 3 سنواتVipimo vimeonesha anaumwa nini jmn, alafu msiongeze watu wengine hadi hawa waudumiwe kwanza ndugu maximum ili msilimbikize wagonjwa Mungu mwema awape afya njema atapona inshallah 27
@
@fariarizaq7528منذ 3 سنواتMashaallah mungu atakupa shifah inshaallah kaka na zahir mungu akubariki sana inshaallah na wesako pia 1
@halishmwarua2957منذ 3 سنواتIn sha Allah mungu hampe shufaa ya haraka Huyu mgonjwa hapunguze chips hale ugali na mboga ni wazo langu tu ndio hapate nguvu 6
@
@Awateeمنذ 3 سنواتInshallah ALLAH awafanyie wepes awahifadh dunian na akhera awape umri mref wenye kheir nanyi amiin 4
@
@nasseradel9784منذ 3 سنواتPoleni kaka zangu mungu atasimama nayi
@
@awenasuleiman4519منذ 3 سنواتZahir unajitahid sana Allah asimame nawe 12
@
@roselambert6700منذ 3 سنواتMungu awabariki sana wote kwa upendo mkuu
@
@sharinv8864منذ 3 سنواتPole sana mgonjwa mungu akufanyie wepesi utapona.jamani heri mkono utowao kuliko unao pokea ulicho nacho towa ili uweze kubarikiwa unapata watu wana fedha id="hidden2" class="buttons"> lakini wanakunywa na kula tu hawajali wagonjwa pls nawaombeni wenzangu tuchange bila kujivuta. ....وسعت
@
@nuruheartaman3466منذ 3 سنواتDah mungu wasimamie mnapitia magumu sana 1
@
@alibell5246منذ 3 سنواتPole Sana mgonjwa kwa kuumwa allah atakuponya inshaallah 1
@
@dechaggagirl1614منذ 3 سنواتFabi bwana in shaa Allah atapona mgonjwa wety kwa uwezo wa Allah
@
@violethswai8061منذ 3 سنواتMwenyezi MUNGU awabariki na kuwalipa kwa wema wenu.
@
@nasraabdallah850منذ 3 سنواتSub hanallah pole sn kaka maskin Allah atakuwaf inn shaallah utapona
@
@hanifatanzania7258منذ 3 سنواتSubuhanallah Allah Ampe wepesi apone lnshallah 12
@
@ashuramhando5285منذ 3 سنواتZahir Wallah wewe ni zaidi ya ndugu na ALLAH alikuchagua una Moyo aliliona hilo hakika wewe ni wakwake atakulinda 2
@Zahrazahra-ue7bpمنذ 3 سنواتJamani twende mbere turudi nyuma uyo mwanamke ata akidamka muimbiri atoingia ndani kwasababu ana mtoto na vire mgeni allah awatirie wepes mnao msuurikia kua na subra zahri inshaallah 1
@sadasalum8778منذ 3 سنواتKweli ni changamoto kweli kaka zahiri poleni sana,allah awanyooshee mkono inshaallah afanye wepes sana ktk hilii amiin 1
@
@dorisurio8001منذ 3 سنواتPoleni Sana..mi ningekushauri mwanangu Zahir..hiyo nauli ya 20000 mngemtafuta mama Lishe mstaarabu awe anampa chakula na chai ,inaweza kutumika hata siku id="hidden4" class="buttons"> tatu kupunguza makali..na asichague chakula aridhike tuu Bora kiwe kimekamilika na mama aende hata Mara tatu kwa wiki ....وسعت
@fsaad5116منذ 3 سنواتZakir silazima aende kila siku kama transport ndio ghali bora medical hiyo starehe ya kula badae ale tu kawaida mambo ni mengi. Mufanye yalo muhimu ya matibabu.
@
@christinatarimo6026منذ 3 سنواتKaka huyu mama awe anaenda Mara chache kwa wiki.hiyo 20000 ya nauli per day ni hatari 3
@
@mouwanahamisi8216منذ 3 سنواتLeo nmewah si haba ngoj niendelee kusikiliz nishushe Dua 3
@
@fsaad5116منذ 3 سنواتJamani wako sawa kina fab musiwaingilie maisha yao jamani
@
@roseatieno6691منذ 3 سنواتMashalla Mungu atatenda . Fabian kumbe anaongea clean kabisa . 1
@
@saadiaali5609منذ 3 سنواتNa apunguze kula kuku pia ajihurumie na ajitambuwe yy ni mgonjwa amekuja kutibiwa pesa ni za kutumwa na wananchi sasa ajihurumie maana kuna mke na watoto 1
@
@halimakihame1744منذ 3 سنواتDa mtihani kwani wale wa dada hamjawapata mana hapo ndipo wanapo takiwa wasapoti huyu mama 1
@zubedaliame474منذ 3 سنواتMtihani kwakweli ningekua karibu ningemsaidia huyu dada kumpaa kapani ya kupelika muhimbili
@
@Awateeمنذ 3 سنواتPolen kaka zangu Allah awape wepes na Subra insha Allah
@
@ashasaid5061منذ 3 سنواتKAKA FABIAN POLE KWA KAZI NZITO NA KAKA JOSEPH 1
@
@tifababynchimbi8454منذ 3 سنواتJmn hicho kidonda nikiona tumbo linauma eeehe Mungu amsaidie tu jmn. 10
@
@fairamkhan4744منذ 3 سنواتka zahir jamn kwnn msingechukua chumba cha karibu na hospital Ili kuepusha usumbufu wa usafir na hao walivo wageni ni changamito kabsa 7
kaka allah atakufanyia wepes utapata afuen insha allah 1