المدة الزمنية 9:58

MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIWASALIMIA WANANCHI WA BUZURUGA MKOANI MWANZA.

657 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2021/09/08

Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Buzuruga Mkoani Mwanza wakati akiwa Mkoani humo kwa ajili ya kuhudhuria Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi zetu lililoandaliwa na Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) na Kituo cha Makumbusho cha Bujora Mwanza 08 Septemba, 2021 #SSH #KaziIendelee# #Tanzania

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0