VUNJA MBAVU NA DKT. SHIKA: Ni moja kati ya vipindi vilivyofanyika mbashara kutoka Mlimani City Dar es Salaam siku ya kuufunga mwaka 2017. Dkt. Louis Shika kama mmoja wa watu waliopata umaarufu katika mwaka huo, naye alikuwepo.
Tazama Mahojiano yake mwanzo hadi mwisho
@godfrey3926منذ 6 سنواتWhy is everyone so negative here about this interview, you should all be ashamed of yourselves..This is fun or comic or whatever you want to call it and id="hidden1" class="buttons"> I think it's a great interview..They did it very well and Dr.Shika was right on point as always.A.K.a true comedian. ....وسعت3
@
@othumansuleiman6372منذ 6 سنواتKuna maswali mhim mnameshimdwa kuuliza mnauliza ujinga tu! Kawaambia alikua balozi office ilikua Kenya eti imejamia marekani, swali lini na kwa nn hajawahi id="hidden2" class="buttons"> kwenda ofisini kwake na anapandishwa vp kz bila kuhudhuria kzn. Na kwa nn alipoendaga kahama aliahidi baada ya wiki mbili ama moja pesa itakua imeingia Tanzania mpaka leo haijaingia? Naahadi alizo ahidi kuke kahama suku zimeshapita anatoaje ama anafanyaje sasa maana ahadi ni deni. Na mengine mengi hamyahoji munahoji ujinga tu mabwege nyie.!!! ....وسعت1
@
@happinesskaali4750منذ 4 سنواتTatizo hawa madada wanadhani wanaongea na chizi kwaiyo wanataka kuchekesha tu, ila dr.shika nitofaut na wengi tunavodhania, i like him honestly 1
@
@josephkasika6755منذ 4 سنواتJamani huyu Mzee yupo Sawa hali alionayo ni kutokana na background za Urusi, Kwa anaye fahamu watu wanaokwenda Urusi kusoma hasa science and engineering id="hidden3" class="buttons"> ni wa chache huwa wanarudi kwao wakiwa na akili timamu, wengi huwa walevi kupindukia nina ushahidi wa wasomi wawili walitoka huko wako hoi ni tabia ya Urusi kuhakikisha elimu usiende kunitumia huko uendako, Kwa huyu kuna mawili eidha walaitaka kumpokonya company na wampoteze au kampuni ilitumika vibaya na mataifa hasimu na Urusi hasa kwenye national security affairs. ....وسعت
@
@amonamos8278منذ 4 سنواتHawa wanauliza maswali kwa lengo la kutaka kujua kama yuko timamu kiakili au la. Acha wafanye kazi yao maana wanapima kama IQ yake iko sawa. 1
@
@maximillankitomary3143منذ 6 سنواتAaaaaaghhh!!! watangazaji mmezingua sana, Mme base kwenye maswali ya familia yake wakat Mzee anavitu vingi vyaundani vya kumuuliza. Acheni kuiangusha AZAM TV bhana 1
@
@memehhhahshshdhdhdمنذ 6 سنواتWatangazaji hamjui kuhoji, mngeandaa maswali kabla.yani hamjaandaa mtiririko mzuri wa maswali..mmeanza issue zingine hlf katikati mnaomba historia yake. 3
@
@sciencearusha5951منذ 6 سنواتAjira yenu inapaswa kuwa hatarini kabisa hamjui kazi yenu na huyo mzee mbababaishaji tuu 1
@
@severinemabirika2249منذ 5 سنواتYaaani.professionalism haipo kabisa hapo .maswali hafifu , mpangilio sifuri
@
@herbertpeter7880منذ 6 سنواتAZAM MEDIA ni moja ya vituo vya habari ninavyoviamini kwelikweli, ila kwa hawa watangazaji, hapa hakuna watangazaji aiseee, ujue mzee Shika ni mtu mzima id="hidden6" class="buttons"> ana heshima zake, kiukweli huwezi ukamhoji maswali ya kitoto kiasi hicho aiseee, nyie wadada jifunzeni interview aisee is not any body can make an interview ....وسعت7
@
@Dakingyastaمنذ 6 سنواتhawa watangazaji wana uwezo mdogo sana wa kuhoji mada za msingi 2
@
@shafiimkeremi7819منذ 6 سنواتTatizo Shule Nmegundua Kwa Hawa Wa Dada, Tuwape Pole Zao .
@
@musisahumbi2248منذ 6 سنواتMnapwaya kwenye maswali hamjipangi mnauliza uliza tu 7
@
@edmondjr17منذ 6 سنواتSwali moja mnalirudia mara mbili amjuwi ata kdg kbs 5
@
@mgykaboza5601منذ 6 سنواتDoctor shishika shavu dodo haya maswali kila siku nihaya haya? Shika kiukweli toa ajila kwa vijana maana huna kipya unachoulizwa kipya tofauti na kampuni yako unaishije unavaaje unaela kiasi gani bosi wako Nani 4
@
@idrisaabdulhakam7208منذ 5 سنواتDah.haya maswali iseee not professional kabisa.huu ni upuuzi jaman dah
@
@angellomarcel5677منذ 6 سنوات.naenda kufanya kazi Marekani.kuitumikia Dunia.. Keep in touch. Iko siku tutaelewa.tu Jeshi alafu mchoma mkaa..? 1
@
@keizageruman6361منذ 6 سنواتWee VP! Kwan meno ndio alama ya MTU mwenye PESA. Allaa! 2
@
@maxmillianmocash1469منذ 5 سنواتNaomba kujua, ivi Azam ao watangazi kabla ya kuwapa ajira mliwafanyia interview ?
@
@moziidavchonchi3338منذ 6 سنواتacheni upuuzi kusoma amjui hata picha izo mbanga za kichoko banaa 1
@
@abdubabu5454منذ 6 سنواتSasa mbona ulikaa sehem mbaya sana huko tabata kweli we mzee mh!!! 1
@
@sciencearusha5951منذ 6 سنواتNinyi wanawake mbona mnahoji kama kasuku? Hivi mmesomea hiyo taaluma kweli 1
@
@saitotisaitoti6734منذ 6 سنواتKwa hiyo nyie ndo mmetumwa na Azamtv kufanya kipindi maalum na maswali mepesi hivo utasema mtoto wa std seven anahoji mmekurupuka bila kujiandaa? Au mmekutana na Dr.shika bahati mbaya mkamdaka na kufanya kipindi? Yani hamjui kuhoji kiukweli.mmeizalilisha kampuni.hiko sio kipindi maalum kwa vijiswali hvo visivo na mpangilio khaa ....وسعت7
@
@lakisipesa7163منذ 6 سنواتMulio sikia Ni audio hii nivideo kuweni na tasmini watu wengine nyinyi
@
@stevenwawafishboyمنذ 6 سنواتMngemhoji kuhusu balozi aliyekataa kusaini ila nyie mmemrukisha mada ,ameanza vizur kuweka mambo hadharani ila nyie mnahoji vitu ambavyo tushavifahamu id="hidden9" class="buttons"> mda mrefu alivyohojiwa , Kama uko pamoja na mm like ACCOUNT YANGU ....وسعت4
@
@Rafikibonifaceمنذ 6 سنواتDr.Shika tunakuzubiri ulaya sisi tuna kula Bata 1
@
@Joseph2010201منذ 6 سنواتAisee mnaiaibisha Azam TV. mtu makini kama huyo haitaji waandishi wenye mawazo mafupi kiasi hicho. 1
@
@saidasimba9979منذ 6 سنواتswali la kuuliza moja wapo lilikua aoneshe wapi kunasema yeye in balozi na amepandishwa cheo . no rahis tu kujua huyo in muongo au mkweli . wewe mtu anateuliwa id="hidden10" class="buttons"> kuwa baloz miaka yote hiyo hafanyi kaz arafu anapandishwa cheo tena yeye nani bwana ....وسعت
@
@othumansuleiman6372منذ 6 سنواتNyie mademu niwasenge kweli, km ningekua boss wenu mngemaliza kipindi na kuunganisha kwenu kz hamna.
@
@ikulutv622منذ 4 سنواتHaya matangazaji, vitangazaji au ni watangazaji waliosomea??!! Mbn wanatia kichefuchefu kbs!! Mzee ana nondo za kutosha lkn hojaji hamn kbs.
@
@shadrackmnjelu5285منذ 6 سنواتYan hujafanya kaz halaf ukapandishwa cheo na hiii ya ubaloz imeanza lini 1
@
@thefuture2955منذ 6 سنواتHivi kweli tupo serious. kuna matatizo mengi huko vijijini hbr zao hasikiki huyu jamaa anazingua stoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooop
@
@olemollel5565منذ 5 سنواتWatangazaji vipi hawa tudisha shule jamaaaa
@musisahumbi2248منذ 6 سنواتYaan wako wawili na DR kawapoteza chaka 5
@
@edlumala9428منذ 6 سنواتHuyu mzee ananikera kweli! Ye mjinga na anafanya watu wote wajinga! Hata pesa ya kula hana, anakwambia kaajiriwa na UN! Hata meno hana bwege 3
@
@claverynyanda7409منذ 6 سنواتnyie madada hata hamjui kabisa kuhoji. Malaya nyie. 5
@
@afropanorama4730منذ 6 سنواتhuyu mzee anatufanya sisi sote mapimbi 1
@
@valentinamussa4212منذ 6 سنواتhawa watangazaji tatizo wananyege sio kwa kujichekesha huko na kuuliza maswari vishawishi maybe wanaitaji sponser
@
@pasquallungwa3517منذ 6 سنواتHawa dizaini wanajifunza kuhoji mtu na huyo mzee kawaheshimu tu ila kwakweli hawana taaluma hiyo.
@
@shafiimkeremi7819منذ 6 سنواتnyie wadada hamjaitendea haki taaluma yenu 2
@
@mahmadougronkjaer8316منذ 6 سنواتnyie wadada mngejiandaa kwa maswali before kumuita shika ..huyo jamaa sio level yenu .ona tuswali mnavo muuliza.yan km millard ayo na victor wanyama.. 5
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Azam TV - MAHOJIANO MAALUM (): Dkt. Shika, afunguka A-Z kuhusu maisha yake ya 'kiki':
Acha wafanye kazi yao maana wanapima kama IQ yake iko sawa. 1
Keep in touch.
Iko siku tutaelewa.tu
Jeshi alafu mchoma mkaa..? 1
Kama uko pamoja na mm like ACCOUNT YANGU ....وسعت 4
stoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooop