المدة الزمنية 5:34

WIMBO Uliyoua WATU 100 Baada Ya KUUSIKILIZA

بواسطة Global TV Online
117 445 مشاهدة
0
918
تم نشره في 2019/07/30

WIMBO Uliyoua WATU 100 Baada Ya KUUSIKILIZA! Gloomy Sunday (Jumapili ya Huzuni) ni wimbo uliotungwa na Rezso Seress (Rudi Spitzer), msanii kutoka nchini Hungary mwaka 1933. Reszo alitunga maneno ya wimbo huo na kupiga mwenyewe ala ya huzuni ya wimbo huo, baada ya kuachwa na mpenzi wake. Inaelezwa kwamba kitendo cha kuachwa na mwanamke aliyekuwa akimpenda sana, kilimfanya apatwe na huzuni kali na msongo wa mawazo, na katika kipindi hicho ndipo alipopata wazo la kutunga mashairi na baadaye kuutengeneza wimbo huo. #gloomysundaysong /playlist?list ... /watch/f-X1N-1 ... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 157
  • @
    @sir.lulenje4827منذ 5 سنوات Duuuh hataree Sana. Mi nlisalitiwa nikausikiliza huu wimbo badala ya kufa nmepata dem mwngne na tuko pa1 tunauskiliza na unatupa usngz mnonoooo 24
  • @
    @ashab2537منذ 5 سنوات Ila ndugu mtangazaji mashaallah, sauti yako inajua kutangaza hadi moyoni 8
  • @
    @lilianbilly5509منذ 3 سنوات Kabla ya kuuskiliza nimeshuka chini kusoma comments nipe like kama na wewe umefanya ivo
  • @
    @yirgayemyirgah7820منذ 5 سنوات Daaaah huo wimbo sio nimeuckia tu kidogo nkajikuta namkumbuk marehm mbwa wangu daaaah inauma sana
  • @
    @paulmgoli4853منذ 5 سنوات Mbn me nmesikiliza cjafa tn nmeweka repeat one nakua nalalia inanipa ucngizi mzuri Sana what a song 1
  • @
    @mrishompemba9969منذ 5 سنوات ulipoanzwa kuimbwa ngekufa apa ungentambua 6
  • @
    @mubanassortz8849منذ 5 سنوات WIMBO HUU NAUFAHAM SANA NILIWAHI KUUSIKILIZA HABARI ZAKE
  • @
    @tygaboydizzoمنذ 5 سنوات Bro you're talented mungu awe Pamoja nawe bro
  • @
    @zakiasadick580منذ 5 سنوات Kibongo bongo ukiachwa unakomaa na status za vijembe tuwalah bongo sihami 14
  • @
    @madamloveness7274منذ 5 سنوات Yaan wanaume wa zamani walikuwa na upendo wa kweli kabisa ,ila siku hizi ukimwacha mwanaume anakutafuta akuuue kwa kukuchoma na moto 11
  • @
    @maryamashmrei9999منذ 5 سنوات Kenya wanawake tupo'busy kutafuta pesa wala sio mapenzi 1
  • @
    @missjasmine4447منذ 5 سنوات Wabongo Hatuwezi kufa coz nimatapeli wamapenzi 5
  • @
    @James-xf9ykمنذ 5 سنوات Nyimbo ukisikiliza huwezi elewa kiurahisi. tafuta lyrics za kingereza 1
  • @
    @micamathew6433منذ 5 سنوات Ahhhh sawa tu mbn!!! Wajiue tu lkn ujue tu ukishafanya hivi, kule kwa Mungu Baba hutahurumiwa. So yaan usijefanya kitu kama hicho cha kujiua. Ni hatari kuliko kitu kingine chochote. Epuka.
  • @
    @user-zj5mp9rk3kقبل 9 أشهر Walijiuaje maana me hapa nasikiliza huku nafua nguo
  • @
    @violetvayo8358منذ 5 سنوات sasa Mimi niende kukiua nimesikili mpaka nine dawnilod 1
  • @
    @fatmajumaa1069منذ 5 سنوات Mimi liniachwa tangu mwaka 2008 nanikiujua wimbo huo nitajiuwa pia 3
  • @
    @zuleyvendor6577منذ 5 سنوات Wanaume wa zamani ulikuwa ukiwaacha wanaimba nyimbo za huzuni kujifajiri. Ila wanaume wa siku hz ni mashetani ukiwaacha wanakuwinda wakuuwe 30
  • @
    @remiomar7154منذ 5 سنوات Hata siuwelewi kwa karne hz tukiimba tutaonekana n mashizi maana hakuna anaeuwelewa 4
  • @
    @mauwabijoux6966منذ 5 سنوات Maraba nimewahi kukuskiliza napenda story zako pia unasauti ya kuvutia ongera 4
  • @
    @janabtv3664منذ 5 سنوات Je? Na kanyaga ingekuwa inauwa? Tanzania nzima bendera ingekuwa nusu mlingoti 36
  • @
    @khayratmuhamed6730منذ 5 سنوات Lol! Ki bongo ufe kwa ajil ya nyimbo haijawah kutokea 22
  • @
    @boazmvellah6286منذ 5 سنوات Duuh mambo yanabadilika dunia ya sasa hv mtyu anasikia mziki anacheza ila miaka hyo ukisikia unakufwaaa
  • @
    @marygaspary199منذ 5 سنوات Nakumbuka simu zilipoanza kuingia Tanzania , tulikuwa tunasoma label ya simu zilizokuwa zikitoka Hungury. 4
  • @
    @saidliko33منذ 5 سنوات Gloomy Sunday ni nyimbo yenye hisia kali maana alieimba aliitumia kama sehem ya kulalamikia au kutolea machungu yake ndio maana kwa kila aliye na machungu magumu yaliushinda uvumiliv wa moyo
  • @
    @zenahjuma439منذ 5 سنوات Hahahhahahahahaaaa mkuje na kwetu tuwauwe na huku 2
  • @
    @eunicejoseph3870منذ 5 سنوات Ila sisi wa sasa HV hata tukiuskia hatufi ndio ujue watu wa sasa HV ni wabishi 9
  • @
    @petermwanyondo6459منذ 5 سنوات Pepo kweli ww kanyaga ndonini mnatuletea nyimbo zakiteja hamna llte 1
  • @
    @jumannemashaka2006منذ 5 سنوات Jamani nikweli kabisa,hata Mimi nilijiua baada ya kuuckia huu wimbo 4
  • @
    @erickmachua8829منذ 5 سنوات Leo umetudanganya.. Tafuta vizuri historia ya Huo Wimbo utajua kuwa ulichotusimulia Leo ni Kama zile Soga tulizokuwa tunasimuliwa na Bibi zetu. 1
  • @
    @bintiiddy7043منذ 5 سنوات Hembu wasanii wa bongo utafsirini huo wimbo kiswahili nami niskilize huenda nijiuwe na mimi maana nimeachwa 1
  • @
    @hollymore4904منذ 5 سنوات Ngoja no download io nyimbo niwatumie ma X wangu.wajiuwe 16
  • @
    @ashab2537منذ 5 سنوات Wanawake wa sasa tunawaza pesa sie, tufanyeje ili tuingize pesa, hizo song hazina nafasi kwa mkichwa wala mapenzi, yaani ukiachwa usijiumize tafuta mwingine azibe pengo upesi sana
  • @
    @maliethnyoni2847منذ 5 سنوات Mm kuna kipindi niliachwa na mwanaume ninaempenda kutoka moyoni nililia niliumia ila niliona bola niende dukani nikanunue maji masafi na kunywa na kulala tuu maisha yanenderea
  • @
    @marrythomas8297منذ 5 سنوات Simulizi yako ndo imenifanya ninywe panadol.lakini siyo huo mwimbo ata sijauelewa kwahiyo sifi ng'ooo