المدة الزمنية 18:58

MTOTO GENIUS WA DARASA LA 4, ANAFUNDISHA SAYANSI SEKONDARI NAFUNDISHA WALIONIVUKA MADARASA NA UMRI

بواسطة Millard Ayo
197 455 مشاهدة
0
1.5 K
تم نشره في 2021/06/16

Sharifat Hytham ni mtoto wa Kitanzania mwenye miaka 8 akiwa anasoma darasa la 4 katika Shule ya Yemen Dar es Salaam. Ayo TV na Millardayo.com imekutana na Sharifati ambae ana uwezo wa hali ya juu unaowashangaza wengi ikiwemo kuwaombea watu Dua, kuwafundisha Wanafunzi wenzake waliomzidi umri na kidato.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 634