Jana miswada mitatu inayohusu madini ilisomwa bungeni kwa mara ya kwanza jana. Miswada hiyo iliwasilishwa kwa hati ya dharura kama ambavyo Rais Magufuli aliliomba Bunge lipitie upya sheria na mikataba ya madini. Bunge pia limeongezwa muda hadi July 5.
Wakati anapokea ripoti ya pili ya Kamati Maalumu ya Uchumi na Sheria kuhusu Taarifa ya Makinikia, Rais Magufuli aliliomba Bunge kupitia upya sheria na mikataba yote ya madini na gesi ili kuiepusha nchi kuingia katika mikataba mibovu.
Baada ya kuwasilishwa kwa miswada hiyo jana, Mbunge wa Kibamba, John Mnyika (Chadema) aliomba mwongozo wa Spika, ambapo aliliomba bunge kuondoa hati ya dharura ya kujadili miswada hiyo.
“Muda mfupi uliopita tumekabidhiwa ratiba ya bunge, serikali inaleta miswada mitatu kwa hati ya dharura, mwaka 1997 mikataba ya madini ilipitishwa haraka haraka, mikataba ya ngesi hivyo hivyo,
“Kazi ya bunge ni kutunga sheria, sisi ndio wawakilishi wa wananchi, kwa umuhimu wake na maslahi kwa wananchi, sisi wawakilishi tulitakiwa kukutana na wananchi, hivyo ni bora ikasomwa leo kwa mara ya kwanza na hati ya dharura ikaondolewa na kuletwa bunge lijalo.
“Kwa maelezo uliyotoa wadau wataitwa kwa short notice wafike Dodoma kujadili, sisi wabunge vile vile, miswada mitatu inaletwa tuichambue. Huu ni mtego kwa kutufanya tushindwe kuishauri serikali kwa kazi yetu ya kibunge”. Alisema Mnyika
Baada ya kauli hiyo ya Mnyika aliyoitoa jana Bungeni, leo Zitto Kabwe(Mbunge wa Kigoma-ACT Wazalendo) amepingana na kauli hiyo ambapo amesema Hoja ya hati ya dharura anayoizungumzia Mnyika ni dhaifu kwa sasa.
WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublishers/
TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari
INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpublishers/
@allymfangavoo6065منذ 5 سنواتMatatizo yanakuja ayo ni madogo shida zinakuja 2020
@
@betholuoga9381منذ 6 سنواتmnyika upo sawa wapizani wamedai sana mikataba mikubwa hususani ya madini ijadiliwe bungeni.serikali imekuwa ikibaki nayo eti ni confidential.. upuuzi.thank to Magufuli amekuwa msaada kwenye rasilimali za nchi 7
@
@bonabonala7685منذ 6 سنواتKweli lema upo saws IPO siku kitawaka 2 wanaona wanainchi wajinga wakumbushe yariotokea ivorycoest ya raurent gbabo ccm na mijadara ya sifa2 hayaa 7
@SamSam-bn8dbمنذ 6 سنواتTanzania kuendelea kiuchumi sahau coz maelewano hakuna hata kwenye ukwel, Bungeni ndo mlitakiwa kuwa kitu kimoja ili kuifiiisha nchi mahali husika, badala yake ndo haya. 4
@
@phineruge3480منذ 5 سنواتWapinzani wote mko Strong, Bila Upinzani Bunge halina watu wenye Hoja km wapo ni 20% kwa 100%
@
@itazowanzagi5721منذ 4 سنواتHuyu jamaa waga namkubalisana kwenye siasa duu nahisi ana PHD
@
@user-zl4ch7kz3bقبل 7 أشهرTangu nianze kuangalia bunge nilikuja gundua wabunge wa chadema ndio wanatutetea ccm ni vilaza hawajui kaz yao
@yairoswai9587منذ 6 سنواتNinahisi upinzani Tanzania ni kama watu haramu ila laiti Watanzania wangeelea kutafakari faida za upinzani. Wamevumbua uozo kibao kama sio wapinzani Tanzania ingekua wapi leo 5
@
@peninaagustino2549منذ 7 سنواتUpinzani ni wa muhimu sana katika kila eneo maana ni jicho la maendeleo. Ukiuchukia upinzani utakuwa haujui kucheza vita nzuri ya maendeleo. Hata wewe id="hidden5" class="buttons"> binadamu una wapinzani wako ambao wanakusaidia usibweteke, wanapokukosoa unajirekebisha na kusonga mbele. ....وسعت9
@
@josephnchunga6554منذ 6 سنواتmpuuzi ninyi mlimkimbiza Nairobi mkihofia kuwa hapa inchi watamua ninyi nivigeugeu hamfai kuwa wabunge ,unaomba una bwabwaja mbona huna nidhamu ww. 3
@
@freddokuckelmann8502منذ 6 سنواتHawa jamaa wala hawapigani bungeni? Bunge ni Uganda bwana, nasubiri ngumi za wanawake wa Uganda tu. Wabunge wetu wana vitambi, ngumi moja analazwa Muhimbili miezi sita. 2
@
@ndikumanakalenzo2440منذ 7 سنواتIla unalo rais la ajabu Sána, kama kweli Ana nia madhubuti angetoa muda WA kutosha kuanza mapitio ya miswada na sheria zote Za madini, na Hata ile report yake pía ipelekwe bungeni kupitiwa pía bila kujali wabunge ni WA chama gani ....وسعت4
@
@evansonyango2878منذ 3 سنواتTanzania si mtupatie huyu mbunge ata kwa mkopo
@
@charlzlyimo1982منذ 7 سنواتwacha waendeelee kutuburuza make watz wengi ni uneducated,ngoja wazungu waendelee kutuibia tu 6
@
@mfaumemohamed8753منذ 6 سنواتLema boya kweli, kwa maneno yaka inaonyesha kwa wasiojulikana kule kibiti anawajua 5
@
@agneserasto9806منذ 5 سنواتWabunge wa wpinzani wizi mmehiba simenti mmehiba zahabu
@
@joycemosha1898قبل 6 أشهرJAMHURI YA MUUNGANO AFRICA DUNIANI CCM BILA DEMOCRASSIA HAWAWEZI KUKAA BILA KUWEPO DMC NA HAWATAPATA MIKPO YA KUMLINDA NA KATIBA RAISI KAKIUKA KATIBA NA id="hidden8" class="buttons"> KIAPO WAMEUUWA RAIYA KWENYE KUTUPA KWENYE VIROBA NA MENGI HAO HUKUNA UONGOZI AJIUZULU TU ANATAYARISHIWA YA KUONGEA ....وسعت
@
@favouredfreda283منذ 5 سنواتLEMA ni lazima asikilinzwe kwani inaonekana kunauvivu wa kufikiri madhaifu ya utendaji kazi kuleta mabadiliko ya nchi.
@
@juliasmollel5176منذ 4 سنواتlema umebonga point lakin sasa hao wajinga hawatakuelew
@frabomdemwa8880منذ 5 سنواتCcm ni dhaifu ndio maana raisi ameanza kampeni kwenye ziara za serikali huku akionekana wazi kuwabagua viongozi walio chaguliwa na wanannchi huku akijinasibu ni raisi wa wote upuuzi mtupu
@
@mariamkalinga2628منذ 6 سنواتsmtupati ng'o ccm mbel MBL kwa mbl 4
@
@agneserasto9806منذ 5 سنواتLema tunakataa ni ujinga mtupu we ni mbunge kazi yako mbaya kaxi ya ubunge himekushinda usiwatiahe siku yako ya kwenda jera himefika 1