المدة الزمنية 4:29

MWILI WAZUIWA HOSPITALI BAADA YA KUGUNDULIKA UNA MADAWA YA KULEVYA YA KUTISHA

بواسطة WANANCHI TV
98 903 مشاهدة
0
326
تم نشره في 2018/12/22

MWILI WAZUIWA HOSPITALI BAADA YA KUGUNDULIKA UNA MADAWA YA KULEVYA YA KUTISHA!!

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 80
  • @
    @danieltunu1297منذ 6 سنوات Duuuh bora kufa masikini kuliko kupoteza maisha pasipo matarajio ya mungu 6
  • @
    @saumuhassan6365منذ 6 سنوات Subhannallah, Allah tunusuru na vizazi katika majanga haya ya madawa ya kulevya.
  • @
    @birdofpry3897منذ 6 سنوات Innalillah wainna ilaih rajiuun Allah amrehemu maiti wetu. Pia twamuomba Allah atusamehe makosa yetu. hakuna mkamilifu icpokua Allah pekee
  • @
    @fathiyaalimtumwa6846منذ 6 سنوات Mungu aileze pema mwili. Wa marehemu piano jaman walimwengu mwenzangu tuachen. Tamara za kidunia
  • @
    @mzenjitz2242منذ 6 سنوات Mwenyezi Mungu tusamehe waja wako na utuepushe na mabalaa yaaRabi!
  • @
    @aishabarie9115منذ 6 سنوات Mwenyezi mungu waangamize wale woote wenye kusambaza madawa yakulevya. 6
  • @
    @user-me6gs8gu6dمنذ 6 سنوات Yarabbi tunusur mwenyez mung ampunguzie adhab za kabri
  • @
    @mdomani2404منذ 5 سنوات Yale yaki na ngwea☹️Daaah siwez aiseee biashara iyo ngoja tu nisugue toilet za waarabu
  • @
    @alisaalis9218منذ 6 سنوات M/Mungu akusamehe dada,Watu wanyongwa China na India lkn bado mnapeleka madawa ya kulevya,Sikio la kufa haliskii dawa 4
  • @
    @ziakaitala2221منذ 6 سنوات Uchunguz ufanyike kugundua mtandao mzma ila wote wanaohusika wale mvua ya maisha 2
  • @
    @jennifersirikwa7449منذ 6 سنوات Mungu hakupenda anachokifanya na hasira ya Mungu iliwaka juu yake, sababu analeta vitu vya kuangamiza watoto wa wengine yeye aishi kwa starehe na watoto wake kwa fedha haramu. Na Mungu asinyamaze kimya sababu ya. wabinafsi 6
  • @
    @mohdabdi4157منذ 6 سنوات duuu pole sana wafiwa lkn funzo iloo tujifunzeni na iyo ni ajali ya kujitakia
  • @
    @mumybhay4984منذ 5 سنوات Tamaa ya maisha itawapeleka pabaya wapenda mafanikio ya haraka ..tamaa mbaya .
  • @
    @njeshkarisnjeri2527منذ 6 سنوات Unapoteza uhai wako bure juu ya pesa cha haram hakiliki na wote wanao sambaza hizo madawa mungu awalani nyote fanaya kazi harari nae mwenyezi mungu atakubariki
  • @
    @fatmakhamis1018منذ 6 سنوات mungu hamfichi mnafki hatavakijificha atamfichua tuu
  • @
    @rahmakhassani4148منذ 6 سنوات Za mwizi arobaini saba ikipita subiria arobain yako tujifunze kutafuta katika haki na si katika kharamu 6
  • @
    @elizabethmwandu6937منذ 5 سنوات Mmmmmmmhu makubwa yanini kujinunulia kifo mwenyewe? Mmmmhu pesa hizi sijui zitatufikisha wapi hata kama ni utafutaji kwa njia hii tunakufa na tunaziacha hizo pesa.
  • @
    @mwanneamani7307منذ 6 سنوات kaisha kufa bc tena mungu ndio anajuwa hukum yake
  • @
    @basilisamsaka1221منذ 5 سنوات Tamaa mbele mauti nyuma ndo haya jamn.
  • @
    @user-qs9rn2je4cمنذ 6 سنوات bora ni fanye kwa waraabu kuliko hiyo mungu ninusuru mm na kizazi changu 7
  • @
    @basilisamsaka1221منذ 5 سنوات Naridhika na ninachopata ila ni cha halali.
  • @
    @ibrahimshaban4126منذ 5 سنوات Amepita wapi na hayo madawa bila kukamatwa au ndio hao watoa rushwa zake zimefika hata kama hakukamatwa bora wafe wao maana tumechoka kupoteza ndugu zetu kwa hayo madawa
  • @
    @kalambolazaro2241منذ 6 سنوات Mmmmmmh atakuwa mtu wa kibosho huyu maana watu wa kibosho hamjambo 4
  • @
    @fideliscmwendapole9336منذ 6 سنوات bora kafa tena anafaa kuchomwa moto ilikusudi isibaki kumbu yoyote juu yake bali ibaki stori tu. 4
  • @
    @AliM-di8dzمنذ 6 سنوات Tamaa, tamaa ; tamaa mbaya, ona sasa ulipenda uache watotowako ?? Jmn inauma sana mbona kazi zipo nyingi hata kupasua mawe tu ni kazi pia .
  • @
    @ssur5797منذ 6 سنوات Hello ajue cha kumjibu Allah mbele ya haki R.I.P 2
  • @
    @aminaally4028منذ 6 سنوات Yote kutafuta rizk tu mzigo umepakiwa vibaya huo mbele yake hakuna anae jua kesho 1