المدة الزمنية 11:34

STEVE NYERERE AMTUKANA MSIGWA - Ni PANYA Tu, Nagombea UBUNGE Iringa, Ana MADENI Sana

بواسطة Global TV Online
68 349 مشاهدة
0
184
تم نشره في 2020/02/20

STEVE NYERERE AMTUKANA MSIGWA - "Ni PANYA Tu, Nagombea UBUNGE Iringa, Ana MADENI Sana" VITA ya muigizaji Steve Nyerere na Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa, imeendelea kupamba moto, ambapo Global TV baada ya kufanya mahojiano na Mbunge huyo sasa imemua kumtafuta Steve ili kujua nini hasa kinasababisha waingie katika vita hiyo.. UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982) (+255676229628) HABARI MPYA DAILY: http://bit.ly/habarimpya HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe http://bit.ly/globaltvonline

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 400
  • @
    @justinbenedictor3567منذ 4 سنوات Kelele za nini, si ukagombee uone utapata kura ngapi! Mpaka za wasanii wenzio utazikosa. 17
  • @
    @crollinpatrick4964منذ 4 سنوات Alicho kizungumza Mh msigwa bungeni kilikuwa na maana sana kwa taifa ila tatizo ni uelewa, na mtu kama steve si rahisi kuelewa kwa sababu ni mjuaji sana. id="hidden1" class="buttons"> Matokeo yake kila anacho zungumza anakuwa haeleweki na hana cha maana. Lakini hapa tatizo kubwa ni kwa hawa wanao jiita wana habari, baadhi yao hawajui wanacho kifanya. Maswali wanayo uliza hayaeleweki matokea yake wana sababisha mtu anamtukana kiongozi. Mh msigwa ni mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania, hivyo huwezi kumtukana kiongozi kwa namna unavyotaka labla iwe kichwa hauko salama na hapa ndivyo ilivyo kwa huyu kijana mwenzetu. ....وسعت
  • @
    @bakariilulubala120منذ 4 سنوات wananchi wenzangu,bila kujali uwezo wa Msigwa bungeni mwenye matatizo ni Msigwa.Uwasilishaji alioutumia haukuwa wa kistaarabu ukichunguza kwa ndani ulikuwa id="hidden2" class="buttons"> na roho ya kwanini kwa mtanzania mwenzake.Mtanzania kula matunda ya nchi yake ni vibaya? Inakuwaje utoe kauli ya kumdhalilisha mwenzio? Angeboresha kwa kusema wale wasanii wakubwa wa nje waungane na wasanii wa Tanzania kutangaza utalii wa nchi yetu kuliko kutumia kauli mbovu ya kudhalilisha!Wachungaji ni watu wenye busara sijui hapo mzee huyu aliteleza? Steve anaandamwa bure kwenye comments mwenye matatizo ni huyu mzee alieonyesha roho ya kwanini kwa mtanzania mwenzie! ....وسعت
  • @
    @amaninaupendo.3539منذ 4 سنوات Amen amen. Kila wakati nasema watumishi wa Mungu jiepusheni na malumbano na watu. Ingieni vita nao katika maombi na siyo vinginevyo. Msigwa wewe ni Mchungaji id="hidden3" class="buttons"> vita vya nini na Watu?. Waefeso - 13. Mungu awasaidie. Amen. ....وسعت
  • @
    @georgeigogo9259منذ 4 سنوات Stive nyerere ww nibwege tuu. Tenaunaajishusha Sana kwakujidai unajibishana na msigwa 7
  • @
    @devidmwakipunda1697منذ 4 سنوات Mtangazaji bwege iyo kazi akufai wachie shirawadu 3
  • @
    @ngometvarusha4030منذ 4 سنوات Mnapenda sana umbea sintofahamu ipi kwa mfano msigwa kaongea bungeni ,mnampa kichwa nyerenyere nakuharibu jina la mwalimu. 1
  • @
    @suhadsalim5528منذ 4 سنوات Huyo Hana mpango wowote Sanaa imemshinda
  • @
    @mwajejasson6995منذ 4 سنوات Wewe muandishi msigwa uwezi kumfanisha na huyo jamaa mm simuelewi hata kidogo 12
  • @
    @benjaminlijongwa3715منذ 4 سنوات Wachungaji huwa tunapewa exemption (msamaha wa kodi) 3
  • @
    @stanslausmteme8455منذ 4 سنوات We anakujua Nani!? Eti kuigiza sauti IV ckuhizi anasikiliza Nani? We nawe msanii! 5
  • @
    @agnetherkisinda3515منذ 4 سنوات Sisi kweli tunampenda msingwa saaana!!!! Kwaiyo ww pita kwa ivi tuachie msingwa wetu
  • @
    @justinbenedictor3567منذ 4 سنوات Hivi huyu anazani kila mtu anaweza akawa mbunge.!? 9
  • @
    @mzungu2012منذ 4 سنوات Steve una uwezo mdogo sana baab. Unatakiwa kuwa serious na kazi
  • @
    @josephmboya9163منذ 4 سنوات Kama we mwanaume rijali jaribu kugombe nae tena nakwambia utajinyonga baada ya matokeo
  • @
    @nazmaabdullkarim8022منذ 4 سنوات Mttangazaji anamtetea msigwa sijui mwenzie
  • @
    @richardnganya2311منذ 4 سنوات Steve 'Nyererre' jaribu kusoma nyakati !! Uelewa wako bado sana ukilinganishwa na Mch. Msigwa !! Kazi mbadala ya usanii sio changudoa wala ujambazi !! Steve bado sana !!
  • @
    @danielmaeda5074منذ 4 سنوات Unachekesha watu ww hivi unaweza kujilinganisha na Msigwa.
  • @
    @stanslausmteme8455منذ 4 سنوات Huna akili!!! kwani mbunge ndo anajenga shule ? Sasa we utajenga hela unazo?! 5
  • @
    @gastordominic410منذ 4 سنوات Kumbe sitive siyo mzima.mm nacheka tu
    Kumbe jamaa maiti
    1
  • @
    @philemongomwa3728منذ 4 سنوات haka kajamaa kwenyekuongea nadhani kanakula vyombo kwanza 1
  • @
    @hafidhissa4405منذ 4 سنوات Umekubali kua kuku Thamani yako pakiwa na sherehe hahahaaa. 2
  • @
    @rahelgika3870منذ 4 سنوات Hivi huyu Steve anajielewa kweli!! Eti msigwa hajulikani. 2
  • @
    @Rashidmhedheryمنذ 4 سنوات Hii channel ya ovyo sana, kama hamna cha kutuletea bora muache, hiki ki karagosi mnakitakia nini? Hakina sifa yeyote, kina kera tu!!!!!! 6
  • @
    @donaldthomas8939منذ 4 سنوات Stive kumbe hajitambui, anataka mbunge ajenge nini na hela apate wapi, anazeeka hovyo 1
  • @
    @lyimoshopingbag5374منذ 4 سنوات Wee mshamba kweli asie daiwa nani! fala kweli ndio mana ukaumbwa mfupi 1
  • @
    @elishamwaya4074منذ 4 سنوات Duh watu wa iringa mukimchagua huyu mutakuwa mabwege hana point hata moja
  • @
    @stevenmsaaada.msaada.389منذ 4 سنوات Hao viongoz wanaomtumia steve nyerere ndio waliomtuma akamkosoe waziri kuwatumia akina steve nyerere?
  • @
    @kanyikamasika2354منذ 4 سنوات Kumbe stive ni segito kweli huyu ni kichaa
  • @
    @nicolausmavoa7909منذ 4 سنوات Egizamshen sio gari ya wizi bali ni gari ilioingizwa nchini kwa msamaha wa kodi 2
  • @
    @simonzakaria4770منذ 4 سنوات Hivi hii TV imekosa kabisa mada zenye Tija kwa wa t
    z
  • @
    @davidnicholaus5304منذ 4 سنوات Dunia imemjua .kwako dunia ni nini?Mouth mmmmmm 2
  • @
    @savimbimapesa3301منذ 4 سنوات Ukabila huo et wahehe unataka kupotosha watu
  • @
    @gastordominic410منذ 4 سنوات Asa na ww mtu.mtu unakula rambirambi 1
  • @
    @mohamedharoub3505منذ 4 سنوات Steeve wew mpumbavu sanaa.shida yako kiki.wewe big name sababu ni Tapeli wa kula michango ya misiba.usanii umekushindaa
  • @
    @andrew.gadimrinji1713منذ 4 سنوات Inaonyesha hauna ufahamu wowote..ni pure msanii kwa maana mbabaishaji.
  • @
    @majaliwamsigwa3974منذ 4 سنوات Kweli we ni katuni,kapande miti Mufindi
  • @
    @allanbhujo8736منذ 4 سنوات Comment zote zimetoa jibu nani ninani kwa ufupi Steve ni wasaa wako kujitafakari unaweza kupoteza marafiki wako kwenye taaluma yako ya usanii kisa kukosa id="hidden5" class="buttons"> BUSARA,HEKIMA, NA KUSOMA NYAKATI
    Kukaa kimya nako ni AKILI KUBWA maana domo daima huinua na kuangamiza naona mdomo wako unakufaa kwenye sanaa si malumbano
    OMBA RADHI USAMEHEWE
    ....وسعت 4
  • @
    @lucascornery9320منذ 4 سنوات Nyrere stevn ww mjinga kbsa kumtukana mtu mkubwa kama huyo
  • @
    @loner_wolfمنذ 4 سنوات Steve unaongea kwa sauti kubwa Sana , Yule jamaa alikukosea sana kiukweli ni hajafikiria alichokisema but alikuwa na point nzuri tu , sasa sijui mnapiga id="hidden6" class="buttons"> kelele za nini , nafikir mnagombea demu kweli maana stori yenu inanishangaxa sana ....وسعت 1
  • @
    @fundimchizi5225منذ 4 سنوات Sasa msigwa asiongeee chochote haka kajamaa kanaitumia hii nafasi hakakuwa kana sikika,sasa kameona ni nafasi kumbe kanazidi kujiaribia
  • @
    @deobenedictakyoo3140منذ 4 سنوات Hakuna adabu kwnza kwnn kanatumia jina la Baba wa taifa vbaya? 9
  • @
    @fadhili2293منذ 4 سنوات Steve ni ugoro tu. Big name wapi au dunia ya wapi hiyo.
  • @
    @justinekashiriririka8690منذ 4 سنوات Mwandishi unakosea sana huwezi ukamfananisha mbwa huyo na msigwa jaman.
  • @
    @mwanzashinyanga8060منذ 4 سنوات huna lolote wewe ni choko tu msigwa humuwezi kivyovyote 8
  • @
    @masanjaelias5829منذ 4 سنوات kuwadi wa madem sijui unapowakuwaidia wanaume wenzio wew unakua upande gan
  • @
    @usajiliusajili6511منذ 4 سنوات Steve unazidi kujizika mwenyewe yaani kichwa chako umetoa ubongo na kujaza matope 1
  • @
    @barakamfugale1049منذ 4 سنوات Nywele kipipipili jinga kuropoka usenge Bongo movie zimekushinda tako ww
  • @
    @hamudseifمنذ 4 سنوات Dah steve unaongea pumbaaaaa, sema fresh
  • @
    @franciscomasungulwa3575منذ 4 سنوات Catherine wewe mdaku sanaaa.unawachokonochokonoa 1
  • @
    @kanisiamkoko7051منذ 4 سنوات Wewe Steve umuwezi msigwa kwa lolote lile hata kidogo ,kakusanye pesa kwenye misiba ndo kazi yako. 10
  • @
    @stanslausmteme8455منذ 4 سنوات Anaiombea nini Ile ya TRA ?!!!! Eti then uwe mbunge 1