المدة الزمنية 1:1

ROBERT TRUMP AAGWA IKULU

بواسطة ayoTv
87 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2020/08/26

Rais wa Marekani Donald Trump na Familia yake wamefanya Ibada ya kuuga mwili wa Mdogo wake Trump, Robert Trump aliyefariki Dunia hivi karibuni akiwa na umri wa miaka 71, Ibada hiyo imefanyika Ikulu na kuhudhuriwa na Watu wachache wa Familia. Kupitia ukurasa wake wa Twitter Trump ameandika “Nakupenda Robert, Pumzika kwa Amani” #RIPRobertTrump🙏🏼

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0