المدة الزمنية 8:36

MWANAUME alitoweka SIKU YA HARUSI yake,siku ya pili AKARUDI lakini JIBU LAKE lilishangaza DUNIA

بواسطة BONGO FASTA
30 597 مشاهدة
0
354
تم نشره في 2021/06/18

credit:Dailymonitor.com Lindaikeji.com

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 65
  • @
    @zubedamagambo9600منذ 3 سنوات Hapo ni kuachana tu. Aendelee na huyo aliekuwa nae siku hiyo. 7
  • @
    @Sppah697منذ 3 سنوات Alienda kuaga Kwa Mwanamke wake wa zamani! 6
  • @
    @AliMohamed-kd1ucمنذ 3 سنوات Dada huna kitu hapa bado hakuna cha ndoa hapo 2
  • @
    @janefrolakalinga5664منذ 3 سنوات patrick noma alienda kuaga kwa mchepuko matokeo yake akaloekew nguo ili asitoke hahahaa dada huna mume apo pole sn 4
  • @
    @nurafedrick378منذ 3 سنوات Huyo alikuwa namwanamke inje alienda kumuagaa akafungiwaa ndani naifunguo zikafichwaa .hapo ndoa hakuna tena 3
  • @
    @fatmaabdalla8543منذ 3 سنوات Bibi harusi kuwa makini huyo bwana wako hana uaminifu 5
  • @
    @livaliiog1304منذ 3 سنوات Like hapa Kama umeipenda team bongo fastar 14
  • @
    @rahmamngoya9044منذ 3 سنوات Mimi pado sija muelewa huyu mwanaume sijui nyie kama mmemsoma 3
  • @
    @moureendaqueenqueen9352منذ 3 سنوات Harusi za siku hizi ni simu,heri customary marriage than certificate marriage 3
  • @
    @salumsalum5712منذ 3 سنوات Mimi n Albert Einstein sasa twende kazi 3
  • @
    @jescajulius8023منذ 3 سنوات Tena unabahati watu kama nyie mnafaa kukomeshwa kwa makusudi ili liwe fundisho kwa wote wanaoenda kuzin kabla ya ndoa. 1
  • @
    @annamwangaza605منذ 3 سنوات Alirogwa kweli wanaume sio ila kwa kuact wanaweza lazima angefika Arusini ushenzi mwingine ukaendekea
  • @
    @jamilaezekiel6174منذ 3 سنوات Daa huyo alikuwa na mwanamke mwingine na ndio maana alikuwa na mawazo alienda kuagana nae akafungiwa mirango
  • @
    @sharinv8864منذ 3 سنوات Kile naeza sema huyo mwanaume huwenda alikuwa freemason so hawakutaka afunge ndoa jamani ina vituko. 1
  • @
    @tamaraseff.9707منذ 3 سنوات Huez jua kihini cha dume uyu.tumuachie yy tu 2
  • @
    @joebanda5475منذ 3 سنوات Wanaweke niwachonganish mm slaumu Patrick 5
  • @
    @luciahmwai567منذ 3 سنوات Ni wapi wamesema alikua Kwa Bibi mwingine, Patrick alikua amechoka Tuinaezatokea 1
  • @
    @magrethmbuma3045منذ 3 سنوات Labda alirogwa huyu mbwa kwann asiende sikuzote kupumzika aende siku ya harusi mijanaume sijui ikoje yaani???? 3
  • @
    @monicaalute3143منذ 3 سنوات Yaan mwanaume km huyu, dawa yke nikumzalia watoto 10 na wote hawatakuwa wake. Nitahakikisha kipindi cha mimba zote nitamsumbua, watoto wote atawalea na kuwasomesha vzr period.
  • @
    @shamzone388منذ 3 سنوات Huyo bwana harusi alikwenda kwa kimada chake lakini alitiliwa dawa za kulaza ndio alilala mpaka siku ya pili.
    Ukiwa ni mwanamme una kimada nje id="hidden3" class="buttons"> siku yaharusi na bi harusi mwengine nakushauri usiende kwa kimada chako yatakukuta hayo au mauti .
    ....وسعت 3
  • @
    @shamzone388منذ 3 سنوات Huyo bwana harusi alikwenda kwa kimada chake lakini alitiliwa dawa za kulaza ndio alilala mpaka siku ya pili.
    Ukiwa ni mwanamme una kimada nje id="hidden5" class="buttons"> siku yaharusi na bi harusi mwengine nakushauri usiende kwa kimada chako yatakukuta hayo au mauti .
    ....وسعت 3