المدة الزمنية 7:7

Mtoto wa Miaka 2 amerudishwa nchini, Baada ya wazazi wake kukamatwa na Dawa za Kulevya China

بواسطة Millard Ayo
133 279 مشاهدة
0
374
تم نشره في 2018/02/15

Taarifa tuliyoipokea kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ni kuhusu Watanzania wawili wamekamatwa nchini China January 19, 2018 wakiwa wamemeza dawa za kulevya tumboni kwenye uwanja wa ndege wa Baiyun Guangzhou.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 239