المدة الزمنية 15:16

Tundu Lissu Uchaguzi huu ni wa kufa na kupona, Mkutano wa ACT-WAZALENDO

4 853 مشاهدة
0
21
تم نشره في 2020/08/05

Tundu Lissu ''Uchaguzi huu ni wa kufa na kupona'' Azungumza kwenye mkutano wa ACT-WAZALENDO Tundu Lissu anasema "Sisi wanachadema hatutafanya jambo lolote la kuhujumu harakati za miaka mingi za wanzanzibar chini ya Maalim Seif, Akasisitiza: "Uchaguzi huu ni wa kufa na kupona, tukikosea tumekwisha"- Mh Tundu Lissu Aidha aliongeazea kuwambia wana ATC, "Uchaguzi mkuu huu ni uchaguzi wa kihistoria. Fikiria hii miaka mitano ilivyokuwa, alafu fikiria tuongezee miaka mingine mitano kama hii itakuwaje."

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 12