المدة الزمنية 9:21

RC wa Pwani ajipanga kumuapisha Mhe Jokate: Ampa kazi 3 muhimu

بواسطة Bongo5
8 433 مشاهدة
0
42
تم نشره في 2018/07/31

MKUU wa Mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo amesema Mhe Jokate Mwegelo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe ni msichana mchapakazi ambaye ana matumaini atafanya kazi kubwa kwaajili ya kuwatumikia wananchi wa wilaya ya Kasarawe.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 7